Breaking News

Your Ad Spot

Dec 29, 2014

RAIS WA TFF JAMAL MALINZI APOKEA JEZI KUTOKA KAMPUNI YA PROIN KWAAJILI YA MASHINDANO YA WOMEN TAIFA CUP.

Mkurugenzi wa Makampuni ya Proin, Bw Johnson Lukaza(kushoto) akimkabidhi Jezi Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Jamal Malinzi kwaajili ya Mashindano ya Mpira wa Miguu kwa Wanawake yajulikanayo kama Taifa Women Cup yanayotarajiwa kutimbua vumbi tarehe 1 January 2015.
Na Josephat Lukaza - Lukaza Blog
Mkurugenzi wa makampuni ya Proin, Bw Johnson Lukaza amkabidhi jezi Rais wa TFF, Mh Jamal Malinzi kwaajili ya michuano ya Mpira wa Miguu kwa Wanawake yajulikanayo kama Taifa Women Cup ambayo yanatarajiwa kutimua Vumbi tarehe 1 Januari 2015 huku Mechi ya Uzinduzi ikiwakutanisha timu kutoka Mwanza na Musoma mechi ambayo itapigwa katika Dimba la CCM Kirumba, Jijini Mwanza.
Kampuni ya Proin Ndio wadhamini wakuu wa mashindano haya ambayo yanatarijiwa kutimua Vumbi Mnamo tarehe 1 Januari 2015. Proin Imeamua kudhamini mashindano hayo kwa lengo la Kuinua vipaji vya Mpira wa Miguu kwa Wanawake ambapo baadae wachezaji bora wataweza kuingia katika Timu ya Taifa ya Wanawake.
Vilevile Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Mh Jamal Malinzi amewataka pia makampuni mengine Kujitokeza katika Kudhamini Mashindano haya yanayotarajiwa kuanza tarehe 1 Januari 2015 kwa lengo la Kuweza kuinua vipaji vya Mpira wa Miguu kwa Wanawake huku pia wakipata fursa ya Kujitangaza kibiashara kwasababu mpira wa miguu ni mchezo ambao unapendwa sana na watu wengi hivyo ni dhahiri kabisa Kuwa Makampuni mengi yakidhamini mashindano haya yataweza kufikia malengo yao kwa kujitangaza.
KAWAIDA Mkurugenzi wa Makampuni ya Proin, Bw Johnson Lukaza(kushoto) akimkabidhi Jezi Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Jamal Malinzi kwaajili ya Mashindano ya Mpira wa Miguu kwa Wanawake yajulikanayo kama Taifa Women Cup yanayotarajiwa kutimbua vumbi tarehe 1 January 2015. Na Josephat Lukaza - Lukaza Blog Mkurugenzi wa makampuni ya Proin, Bw Johnson Lukaza amkabidhi jezi Rais wa TFF, Mh Jamal Malinzi kwaajili ya michuano ya Mpira wa Miguu kwa Wanawake yajulikanayo kama Taifa Women Cup ambayo yanatarajiwa kutimua Vumbi tarehe 1 Januari 2015 huku Mechi ya Uzinduzi ikiwakutanisha timu kutoka Mwanza na Musoma mechi ambayo itapigwa katika Dimba la CCM Kirumba, Jijini Mwanza. Kampuni ya Proin Ndio wadhamini wakuu wa mashindano haya ambayo yanatarijiwa kutimua Vumbi Mnamo tarehe 1 Januari 2015. Proin Imeamua kudhamini mashindano hayo kwa lengo la Kuinua vipaji vya Mpira wa Miguu kwa Wanawake ambapo baadae wachezaji bora wataweza kuingia katika Timu ya Taifa ya Wanawake. Vilevile Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Mh Jamal Malinzi amewataka pia makampuni mengine Kujitokeza katika Kudhamini Mashindano haya yanayotarajiwa kuanza tarehe 1 Januari 2015 kwa lengo la Kuweza kuinua vipaji vya Mpira wa Miguu kwa Wanawake huku pia wakipata fursa ya Kujitangaza kibiashara kwasababu mpira wa miguu ni mchezo ambao unapendwa sana na watu wengi hivyo ni dhahiri kabisa Kuwa Makampuni mengi yakidhamini mashindano haya yataweza kufikia malengo yao kwa kujitangaza.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages