Breaking News

Your Ad Spot

Dec 2, 2014

TANZANIA YASHIRIKI MKUTANO WA C.O.P 20, MJINI LIMA

Ujumbe wa Tanzania ukifuatilia sehemu ya pili ya ufunguzi wa mchakato wa kuanzisha chombo kipya cha kisheria kitakachohusisha nchi zote wanachama wa mkataba wa dunia wa mabadiliko ya tabia nchi katika kukabiliana na masuala hayo (ADP) jana,  mjini Lima. (Picha na Evelyn Mkokoi wa Ofisi ya Makamu wa Rais)

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages