Breaking News

Your Ad Spot

Feb 17, 2015

MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA NHIF YAENDELEA KUTOA MAFUNZO KWA WAJASIRIAMALI WASIO KATIKA SEKTA RASMI.

1
Meneja  wa Bima ya Afya NHIF  Wilaya  ya  Temeke, Bi Ellentruder Mbogoro (kushoto), akifafanua machache kabla ya kumkaribisha mgeni rasimi Mkurugenzi wa Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF), Bw. Rehani Athumani kufungua mafunzo ya siku moja ya viongozi wa SACCOS Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam Februari 17,2015 lengo la mafunzo hayo ni kuwapa elimu kuhusiana na mpango wa NHIF wa KIKOA unaotolewa Bima ya Afya waweze kujiunga na Mfuko huo ili wapate uhakika wa matibabu kupitia mfuko wa bima ya afya (katikati), Mkurugenzi wa Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF), Bw. Rehani Athumani (kulia) ni Kaimu Meneja wa CHF, Bw. Salvatory Okumu.
PICHA NA PHILEMON SOLOMON,FULLSHANGWEBLOG
2
Mkurugenzi wa Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF), Bw. Rehani Athumani akifungua mafunzo ya siku moja ya viongozi wa SACCOS Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam lengo la mafunzo hayo ni kuwapa elimu kuhusiana mpango wa kujiunga na NHIF kupitia vikundi (KIKOA) ili wapate uhakika wa matibabu kupitia mfuko wa bima ya afya (kulia) baadhi ya viongozi kutoka NHIF.
3
Kaimu Meneja wa CHF, Bw. Salvatory Okumu akifafanua kuhusiana kiwango cha uchangiaji kwa wajasiriamali.
5
Mwenyekiti UMMA SACCOS, Raphael Nangi akichangia mada wakati wa mafunzo hayo.
4DSC_0016
Viongozi wa SACCOS kutoka Wilaya ya Temeke wakifuatilia mada mbalimbali wakati wa mafunzo hayo yalioandaliwa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya NHIF.
6
Kiongozi wa SACCOS akichangia mada.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages