Breaking News

Your Ad Spot

Jun 30, 2015

MAGUFULI AKAGUA UJENZI WA MADARAJA KATIKA BARABARA YA BAGAMOYO-MSATA MKOANI PWANI

I

Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli akikagua sehemu ya juu ya Daraja la Kariakoo katika eneo la Ruvu Chini katika barabara ya Bagamoyo-Msata
Sehemu ya Daraja la Kariakoo katika eneo la Ruvu chini katika mradi wa Ujenzi wa Barabara ya Bagamoyo-Msata ukiendelea kujengwa.
Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli akikagua sehemu ya chini ya daraja la Kariakoo.
Mkandarasi wa Barabara ya Bagamoyo-Msata kushoto akitoa maelezo ya Mradi wa Madaraja katika eneo la Ruvu Chini Mkoani Pwani huku Waziri wa Ujenzi Dkt. Magufuli akimsilikiza kwa makini.
Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli akishuka ngazi mara baada ya kufanya ukaguzi wa Daraja la Kariakoo katika barabara ya Bagamoyo-Msata mkoani Pwani.
Picha kwa Hisani ya Kitengo cha Mawasiliano Serikalini-Wizara ya Ujenzi

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages