Breaking News

Your Ad Spot

Jun 24, 2015

MWIZI ACHEZEA KICHAPO JIJINI DAR

Akiwa hoi taabani baada ya kutembezewa kichapo.Kibaka aliyejulikana kama Baba Hawa, mkazi wa Sinza Kamanyola jijini Dar akipokea kipigo kikali toka kwa wananchi wenye hasira baada ya kunaswa akiiba kinyonyeo cha kompyuta (flash) kwenye duka moja la vifaa vya ofisini (stationery) lililopo Bamaga, Mwenge.

Bahati ilioje! Kibaka mmoja aliyejulikana kama Baba Hawa, mkazi wa Sinza Kamanyola jijini Dar juzikati nusura auawe kwa kuchomwa moto na wananchi wenye hasira baada ya kunaswa akiiba kinyonyeo cha kompyuta (flash) kwenye duka moja la vifaa vya ofisini (stationery) lililopo Bamaga, Mwenge.
Kibaka huyo akiendelea kupokea ‘dozi’.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages