Breaking News

Your Ad Spot

Jun 2, 2015

ZIARA YA ACCESSS BANK KWA VYOMBO VYA HABARI

 Meneja Masoko wa AccessBank Ndugu Muganyizi Jonas Bisheko  (katikati ) akiwa Azam tv  Pamoja na Watangazaji wa Kipindi cha alasiri ndugu Andrian (kushoto) pamoja na wasiwasi Mwabulambo  kwenye  ziara kubwa ya Meneja kwenye Vyombo Mbalimbali vya Habari  Kutoa Elimu kwa Jamii juu ya Mambo mbalimali ya Kiuchumi ikiwemo Tatizo la Ajira ,Namna ya Kujiajiri na Nidhamu utawala wa Rasilimali fedha.


 Meneja Masoko wa AccessBank Ndugu Muganyizi Jonas Bisheko  akiwa ndani ya studio za Clouds katika muendelezo wa Ziara yake hapa akiea na  Mtangazaji Perfect Crispin.
 Meneja Masoko wa AccessBank Ndugu Muganyizi Jonas Bisheko   akiwa studio za  Magic FM


 Meneja Masoko wa AccessBank Ndugu Muganyizi Jonas Bisheko   Akiwa Production Room ya CLOUDS fm.

 
Meneja Masoko wa AccessBank Ndugu Muganyizi Jonas Bisheko  Akiwa ndani ya Studio za Mlimani tv Akielezea namna ambavyo AccessBank inatumia techinolojia kusogeza karibu huduma zake kwa wateja.Hivi karibuni AccessBank ilizindua huduma yake ijulikanayo kama RAHISII Inayowezeshwa na AccessMobile,Huduna inayowezesha Wateja kupata Huduma za Kibenki bure bila Kikomo Kupitia Simu zao za Kiganjani.Kama vile kupata Akaunt bure bila Makato.Kuweka Fedha na Kutoa Bure Katika tawi la AccessBank.Kuhamisha Fedha bure Kwenye Akaunti.M-Pesa,Tigo Pesa,Airtel Money.Kulipia bili Burekwenda Luku,Dstv Dawasco,na Nyinginezo.Kununua Muda wa Maongezi Bure Kutoka Vodacom,Tigo ,Airtel na Zantel
Meneja Masoko wa AccessBank Ndugu Jonas Muganyizi  Akiwa Efm Rdio  Ezden

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages