Breaking News

Your Ad Spot

Jul 6, 2015

MBUNGE WA JIMBO LA TEMEKE ABBAS MTEMVU ATOWA MISAADA KWA WATU WENYE MAHITAJI MAALUM DAR ES SALAAM

Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu
 Baadhi ya misaada mbalimbali  iliyotolewa na Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu kwa watu wenye mahitaji maalum.


mwenyekiti wa Taasisi ya Sitti Tanzania Foundation , Sitti Mtemvu  akizungumza na walezi wa watu wenye mahitaji maalum, wakati Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu  alipokabidhi misaada ya vitu mbalimbali, vikiwemo vyakula, mafuta ya kula, magodoro na kompyuta ambapo jumla ya vikundi kumi na vitatu vimepatiwa misaada mbalimbali na mbunge huyo.
 Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu  akizungumza na walezi wa watu wenye mahitaji maalum, wakati alipokabidhi misaada ya vitu mbalimbali, vikiwemo vyakula, mafuta ya kula, magodoro na kompyuta ambapo jumla ya vikundi kumi na vitatu vimepatiwa misaada mbalimbali na mbunge huyo.
Baadhi ya vitu vilivyo tolewa na  Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu kwa watu wenye mahitaji maalum
Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu akikabidhi misaada kwa Mlezi wa kituo cha Makao ya Taifa ya watoto wenye shida maalum cha kurasini  Beatrice Mgumilo



 Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu (aliye vaa koti) akipiga makofi baada ya walezi wa vituo mbalimbali  kuomba Yamoto Band waimbe nyimbo moja
Mkurugenzi wa Mkubwa na Wanawe (Yamoto Band) akimshukuru Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu
Mbunge wa Jimbo la Temeke na Kamanda wa Vijana Mkoa wa Dar es Salaam, Abbas Mtemvu ametoa msaada wa vitu mbalimbali vya nafaka na magodoro pamoja na kompyuta kwa Yamoto Band ambapo jumla ya vikundi kumi na vitatu vimepatiwa misaada mbalimbali na mbunge huyo





Yamoto Band katika  Picha ya pamoja na baadhi ya Watoto wenye mahitaji maalum

Yamoto Band wakisalimia wazazi na watoto wenye mahitaji maalum
PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages