Breaking News

Your Ad Spot

Jul 12, 2015

ONESHO LA YOUNG SCIENTISTS TANZANIA (YST) KWA MWAKA 2015 KUFANYIKA TAREHE 05 MPAKA 07 MWEZI WA NANE KATIKA UKUMBI WA DIAMOND JUBILEE

 Mkurugenzi wa Chama cha Wanasayansi vijana wa Tanzania, Dk.Kamugisha Gozibert  akizungumza na waandishi wa habari(hawapo picha) kuhusu onesho la  Young Scientists Tanzania (YST) kwa mwaka wa 2015 na kueleza kuwa onesho ilo litafanyika kwa siku tatu katika ukumbi wa Diamond Jubilee kuanzia tarehe 5 hadi 7 August 2015 ambapo wanafunzi wataweza kuonesha tafiti za kisayansi na kitekinologia zilifanywa na wanafunzi wa sekondari kwa takribani mwaka mmoja.
 Mwakilishi wa Ubalozi wa Ireland nchini, Brian Nolan akizungumza jambo wakati wa utangazaji rasmi wa Onesho la Young Scientists Tanzania (YST) kwa mwaka wa 2015 ambao wa wameamua kuwa wadhamini wa Onesho ilo.
 Vice President, Policy and Corporate AffairsJohn Ulanga akizungumza na waandishi wa habari(hawapo pichani) kususu udhamini wao katika onesho la Young Scientists Tanzania (YST) kwa mwaka wa 2015 ambapo mwaka huu wamedhamini kiasi cha Dolla  laki mbili (200,000) pia wanadhamini wanafunzi wote kwa kwenda kusoma chuo chodhote kwa wale watakaoshinda kwenye onesho la mwaka huu.
Waandishi wa habari wakiendelea kuchukua matukio

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages