Breaking News

Your Ad Spot

Aug 28, 2015

DR. JOHN POMBE MAGUFULI ATIKISA JIJI LA MBEYA

1
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dr. John Pombe Magufuli akiwahutubia maelfu ya wananchi wa mkoa wa Mbeya katika mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye uwanja wa Nzovwe jijini Mbeya huku akiwaambia wananchi hao kwamba anawaomba kura za ndiyo ili aweze kuingia Ikulu kuwatumikia watanzania wote bila kujali itikadi zao za vyama, ukabila, Dini wala ukanda.
Akisisitiza kauli yake Dr. Magufuli amesema nipeni kazi kwani mimi sio mwanasiasa bali ni mtendaji, mkweli na Mchapakazi yaani “Hapa Kazi Tu”(PICHA NA JOHN BUKUKU-FULLSHANGWE-MBEYA)
2
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dr. John Pombe Magufuli akisisitiza jambo wakati alipokuwa akihutubia katika mkutano huo
3
Mwigulu Nchemba akimpigia debe Mh. John Pombe Magufuli katika mkutano huo.
4
Mgombea ubunge jimbo la Kyela Mh. Dr. Harrison Mwakyembe akihutubia katika mkutano huo.
5
Kada wa CCM Bw. Richard Kasesela akimpigia Debe Dr. John Pombe Magufuli.
6
Maelfu ya wananchi wakipunga mkono kama ishara ya kumkubali Dr. John Pombe Magufuli.
7
Msami msanii wa muziki wa kizazi kipya akitumbuiza katika mkutano huo.
8
Msanii Matonya akifanya vitu vyake jukwaani.
9
Msanii Sheta akikamua.
10
Shilole naye amekamua vya kutosha katika mkutano huo.
11 12 13
Baadhi ya wana CCM wakiwa wameshikilia mabango yenye picha za Dr. John Pombe Magufuli.
15
Wanamuziki wa bendi ya TOT wakifanya vitu vyao jukwaani.
16
Jamaa huyu naye akitoa burudani ili mradi CCM Mbele kwa mbele.
17
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dr. John Pombe Magufuli akipuga mkono kwa wananchi mara baada ya kuwasili kwenye uwnanja wa Nzovwe tayari kwa mkutano wake wa kampeni.
19
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dr. John Pombe Magufuli akiwaaga wananchi mara baada ya kuwahutubia mjini Mbeya leo.
????????????????????????????????????
????????????????????????????????????
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dr. John Pombe Magufuli akitembea kwa miguu na wananchi mara baada ya kushuka kwenye gari lake wakati alipokuwa akiondoka katika uwanja wa mkutano mjini Mbeya.
????????????????????????????????????
????????????????????????????????????
????????????????????????????????????
????????????????????????????????????
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dr. John Pombe Magufuli akiwanadi wagombea udiwani wa Mbeya mjini.
26
Mjumbe wa Kamati Kuu CCM  Ndugu William Lukuvi kushoto , Mkuu wa mkoa wa Mbeya Mh. Abas Kandoro katikati na Mwigulu Nchemba.
27

Baadhi ya wana CCM wakifuatilia mkutano huo.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages