Mgombea Urais wa Jamhuri ya
Muungano ya Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dr. John Pombe
Magufuli akiwahutubia maelfu ya wananchi wa mkoa wa Mbeya katika mkutano
wa kampeni uliofanyika kwenye uwanja wa Nzovwe jijini Mbeya huku
akiwaambia wananchi hao kwamba anawaomba kura za ndiyo ili aweze kuingia
Ikulu kuwatumikia watanzania wote bila kujali itikadi zao za vyama,
ukabila, Dini wala ukanda.
Akisisitiza kauli yake Dr.
Magufuli amesema nipeni kazi kwani mimi sio mwanasiasa bali ni mtendaji,
mkweli na Mchapakazi yaani “Hapa Kazi Tu”(PICHA NA JOHN
BUKUKU-FULLSHANGWE-MBEYA)
Mgombea Urais wa Jamhuri ya
Muungano ya Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dr. John Pombe
Magufuli akisisitiza jambo wakati alipokuwa akihutubia katika mkutano
huo
Mwigulu Nchemba akimpigia debe Mh. John Pombe Magufuli katika mkutano huo.
Mgombea ubunge jimbo la Kyela Mh. Dr. Harrison Mwakyembe akihutubia katika mkutano huo.
Kada wa CCM Bw. Richard Kasesela akimpigia Debe Dr. John Pombe Magufuli.
Maelfu ya wananchi wakipunga mkono kama ishara ya kumkubali Dr. John Pombe Magufuli.
Msami msanii wa muziki wa kizazi kipya akitumbuiza katika mkutano huo.
Msanii Matonya akifanya vitu vyake jukwaani.
Msanii Sheta akikamua.
Shilole naye amekamua vya kutosha katika mkutano huo.
Baadhi ya wana CCM wakiwa wameshikilia mabango yenye picha za Dr. John Pombe Magufuli.
Wanamuziki wa bendi ya TOT wakifanya vitu vyao jukwaani.
Jamaa huyu naye akitoa burudani ili mradi CCM Mbele kwa mbele.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya
Muungano ya Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dr. John Pombe
Magufuli akipuga mkono kwa wananchi mara baada ya kuwasili kwenye
uwnanja wa Nzovwe tayari kwa mkutano wake wa kampeni.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya
Muungano ya Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dr. John Pombe
Magufuli akiwaaga wananchi mara baada ya kuwahutubia mjini Mbeya leo.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya
Muungano ya Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dr. John Pombe
Magufuli akitembea kwa miguu na wananchi mara baada ya kushuka kwenye
gari lake wakati alipokuwa akiondoka katika uwanja wa mkutano mjini
Mbeya.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya
Muungano ya Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dr. John Pombe
Magufuli akiwanadi wagombea udiwani wa Mbeya mjini.
Mjumbe wa Kamati Kuu CCM Ndugu William Lukuvi kushoto , Mkuu wa mkoa wa Mbeya Mh. Abas Kandoro katikati na Mwigulu Nchemba.
Baadhi ya wana CCM wakifuatilia mkutano huo.
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269