Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete
akimjulia hali mwandishi wa habari Mkongwe wa magazeti ya Serikali ya
Daily News na Sunday News Bwana Charles Kizigha nyumbani kwake Mbezi
Beach jijini Dar es Salaam jana jioni.Aliyesimama kulia ni mtoto wa
mwandishi huyo wa habari Mhe.Angela Kizigha ambaye ni Mbunge wa Afrika
Mashariki.Rais Kikwete alimtembelea Bwana Kizigha nyumbani kwake baada
ya kupata taarifa kuwa ni mgonjwa(picha na Freddy Maro)
Your Ad Spot
Aug 29, 2015
Home
Unlabelled
RAIS KIKWETE AMJULIA HALI CHARLES KIZIGHA
RAIS KIKWETE AMJULIA HALI CHARLES KIZIGHA
Share This
About khamisimussa77@gmail.com
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269