Breaking News

Your Ad Spot

Sep 24, 2015

AJALI YA GARI KATIKA KITONGOJI CHA SANGASANGA MKOA WA MOROGORO

 Gari lenye namba za usajili T 717 CKF likiwa limeacha njia na kuligonga  gari jingine maeneo ya kitongoji cha Sangasanga Mkoani Morogoro  ambapo chanzo cha ajali hakikuweza kupatikana maramoja (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA).
 Ajali ya gari zikiwa zimegongana katika kitongoji cha Sangasanga Mkoani Morogoro
 Jitihada zikiendelea kuyaondoa magari hayo

Gari lenye namba za usajili  T 399 CRE likiwa linaandaliwa kuvuta magari hayo eneo la tukio

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages