Mwanaharakati
wa kutetea wanawake na mgombea Ubunge wa Jimbo la Segerea kupitia Chama
Cha Mapinduzi (CCM), Bonah Kaluwa (kulia), akizungumza na wanawake
wakati akifungua kampeni ya kupinga ukatili wa jinsia dhidi ya wanawake
katika Soko la Tabata Muslim lililopo mtaa wa Msimbazi, Dar es Salaam
leo. Kutoka kushoto ni Mjumbe wa mtaa huo, Tatu Lazaro na Mwenyekiti wa
mtaa huo, Beatries Mkama.
Your Ad Spot
Sep 14, 2015
Home
Unlabelled
ALIYE KUWA DIWANI WA KATA YA KIPAWA BONAH KALUWA AFUNGUA KAMPENI DHIDI YA UKATILI WA JINSIA KATIKA SOKO LA TABATA MUSLIM DAR ES SALAAM LEO
ALIYE KUWA DIWANI WA KATA YA KIPAWA BONAH KALUWA AFUNGUA KAMPENI DHIDI YA UKATILI WA JINSIA KATIKA SOKO LA TABATA MUSLIM DAR ES SALAAM LEO
Share This
About khamisimussa77@gmail.com
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269