Breaking News

Your Ad Spot

Sep 6, 2015

JK, MAKAMBA WAMPIGA TAFU DK MAGUFULI KATIKA KAMPENI MOROGORO


 Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akijinadi kwa wananchi wakati wa mkutano wa kampeni kwenye Uwanja wa Jamhuri Mjini Morogoro leo.PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG

 Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akimtambulisha kwa wananchi Mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli wakati wa mkutano wa kampeni mjini Morogoro

 JK akikumbatiana kwa furaha na Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, John Magufuli  wakati wa kampeni hizo, ambapo alisema kuwa siku atakapomkabidhi madaraka atafurahi sana

 Wote wawili wakiwasalimia wananchi waliofurika kwenye Uwanja wa JUamhuri Mjini Morogoro

 Dk Magufuli akiombewa na Watawa  baada ya kumaliza kujinadi kwa wananchi mjini Mikumi leo

 Wananchi wa Kijiji cha Mkasum wilayani Kilombero wakishangilia kwa furaha baada ya kufanikiwa kuuzuia msafara wa Dk Magufuli ili asikilize kero zao

 Wananchi wakiwa na mabango yenye ujumbe mbalimbali walipomzuia Dk Magufuli katika Kijiji cha Mkula, akitokea Ifakara kwenda  Jimbo la Mikumi

 Mambo yalivyokuwa katika Kata ya Mkambam wilayani Kilombero

 Dk Magufuli akizungumza na wananchi na kuwaomba kumpigia kura ifikapo Oktoba  25 mwaka =huu

 Madiwani wa CCM wakinadiwa na Dk Magufuli nkatika mkutano wa kampeni mjini Ruaha, Kilombero mkoani Morogoro

 Mgombea ubunge Jimbo la Mlimba, Godwin Kunambi akijinadi mbele ya Mgombea urais wa CCM, Dk Magufuli mjini Ruaha

 Mgombea ubunge Jimbo la Mikumi kupitia  CCM Jonas Nkya AKIOMBA KUPIGIA KURA katika uchaguzi mkuu mwaka huu

 Dk Magufuli akihutubia huku akishangiliwa na wananchi mjini Ruaha

 Dk Magufuli akijinadi kwa wananchi ili apigiwe kura kwa wingi mjini Kilosa

 Dk Magufuli akimvisha kofia  aliyekuwa Katibu wa Chadema Wilaya ya Kilosa, Abdalah Seleman ambaye alitangaza kukihama chama nhicho na kujiunga na CCM katika mkutano wa kampeni uliofanyika mjini Kilosa

  Dk Magufuli akimvisha kofia  aliyekuwa Mwenyekiti wa  Chadema Wilaya ya Kilosa, Seleman Simba ambaye alitangaza kukihama chama nhicho na kujiunga na CCM katika mkutano wa kampeni uliofanyika mjini Kilosa

 Dk Magufuli akiwahutubia wakazi wa Kimamba wilayani Kilosa na kuahidi kujenga barabara kwa kiwango cha lami hadi mjini Kilosa.



 Msafara wa Dk Magufuli  ukiingia uwanjani huku akilakiwa na baadhi ya wanafunzi wa Chuo cha Mzumbe wilayani Mvomero

 Dk Magufuli akimbeba mtoto na kumpoatia zawadi alipokuwa akiwasili kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro

 Dk Magufuli akiwapungia mkono wananchi waliofurika katika mkutano huo wa kampeni

 Wasanii mbalimbali wanaoeneza ujumbe wa Sema na Mwanao kuhusu uamuzi wa kuipigia kura CCM katika uchaguzi Mkuu mwaka huu.

 Katibu Mkuu wa zamani wa CCM,  Yusufu Makamba (kulia) akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete pamoja na Mgombea urais kupitia chama hicho, Dk John Magufuli alipowasili kumpiga tafu katika mkutano wa kampeni za CCM

 Msanii Ali Kiba akiongoza vijana wake kulishambulia jukwaa walipotumbuiza katika mkutano huo

 JK na Dk Magufuli wakiteta jambo

 Dk Magufuli akijadiliana jambo na Rais Jakaya Kikwete

 Mke wa Rfais, Mam Salma Kikwete (kushoto) wakioneshana jambo kwenye simu na Katibu Mkuu wa Umoja wa Wananwake wa CCM,




 Katibu Mkuu wa zamani wa CCM, Yusufu Makamba akielezea katika mkutano kuhusu anavyoujua ufisadi wa Mgombea urais wa Ukawa, Edward Lowassa pamoja utajiri mkubwa alio nao

  Dk Magufuli akionesha ukakamavu kwa kupanda ngazi kwa kukimbia kwenda jukwaani kujinadi

Dk Magufuli akijinadi kwa wananchi kwenye Uwanja wa Jamhuri

1 comment:


  1. So dynamic and fit enough to serve Tanzanians

    visit my blog http://mwenyekitiwamuda.blogspot.com/

    ReplyDelete

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages