Breaking News

Your Ad Spot

Sep 30, 2015

MWENYEKITI WA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI (NEC) JAJI MSTAAFU DAMIAN LUBUVA AKUTANA NA WAMILIKI WA VYOMBO VYA HABARI DAR ES SALAAM

  Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi  (NEC)  Jaji Mstaafu  Damian Lubuva akizungumza jambo na wamiliki wa vyombo mbalimbali vya Habari (pichani hawapo) walipokutana   Dar es Salaam leo Sarena,  kuzungumzia maswala ya uchaguzi wakati wa Mkutano wa Tume hiyo na Wamiliki wa vyombo vya habari uliofanyika katika Hoteli ya Sarena Jijini Dar es Salaam leo.
(PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)
 Kaimu Mkurugenzi wa Uchaguzi Emanuel Kawishe
 Wawakilishi  wa nyombo vya habar
 Wanahabari wakiwa kazini wakati wa Mkutano wa Tume ya Uchaguzi walipokutana  na Wamiliki wa vyombo vya habari uliofanyika katika Hoteli ya Sarena Jijini Dar es Salaam
 Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi  (NEC) aliyekaa Jaji Mstaafu  Damian Lubuva akisalimiana na Mwenyekiti wa Chama cha wamiliki wa Vyombo vya Habari Tanzania (MOAT) Rgnald Mengi wakati wa Mkutano wa Tume hiyo na Wamiliki wa vyombo vya habari uliofanyika katika Hoteli ya Sarena Jijini Dar es Salaam .

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages