Breaking News

Your Ad Spot

Sep 1, 2015

RAIS KIKWETE AAGWA RASMI NA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA JIJINI DAR

 Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya ulinzai  na Usalama Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikagua gwaride rasmi liliandaliwa na vikosi mbalimbali wakati wa sherehe ya kuagwa rasmi na vyombo vya ulinzi na usalama iiyofanyika katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Rais wa Zanzibar, Dkt. Ali Mohamed Shein, baada ya kuwasili kwenye uwanja wa Uhuru kwa ajili ya kuhudhuria hafla ya kuagwa na Vyombo vya Ulinzi na Usalama.
 Rais Jakaya Kikwete,akipunga mkono kuwasalimia wananchi na viongozi mbalimbali waliokuwa jukwaani wakati wa hafla hiyo kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.
 Rais Jakaya akiwa na Mkuu wa Majeshi, Davis Mwamunyange..
 Viongozi wakisimama wakati wa wimbo wa taifa.
 Rais Jakaya Kikwete, akikagua gwaride....
 Baadhi ya Viongozi wakisimama kumpokea Rais Jakaya Kikwete.
 Askari wakipiga saruti wakati ikipigwa mizinga 21.
Askari wakipita mbele ya jukwaa kuu wakati wa gwaride la heshima.  KWA MATUKIO ZAIDI YA PICHA ZA HAFLA HII KAA NASI HAPO BAADAYE CHANZO SUFIANO MAFOTO

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages