Breaking News

Your Ad Spot

Oct 23, 2015

CCM JIMBO LA MFENESINI ZANZIBAR YAFUNGA KAMPENI ZA 2015

1
Mgeni Rasmi Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Magharib Yussuf Mohd  Yussuf  akiwaonyesha Wananchi wa Shehiya ya Bumbwisudi mfano wa karatasi ya kupigia Kura kwa wagomebea Ubunge katika Mkutano uliofanyika Uwanja wa Bumbwisudi kwagoa Jimbo la Mfenesini.
2
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa  Magharib Yussuf Mohd  Yussuf  akimnadi mgombea Uwakilishi Jimbo la Mfenesini Machano Othman Said katika Mkutano uliofanyika Uwanja wa Bumbwisudi kwagoa.
3
Mgombea Uwakilishi CCM Jimbo la Mfenesini Machano Othman Said akizungumza na Wananchi wa Shehiya ya Bubwisudi na kuwaomba kura katika Mkutano uliofanyika Uwanja wa Bumbwisudi kwagoa.
4
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa  Magharib Yussuf Mohd  Yussuf  akimnadi mgombea Ubunge wa CCM Jimbo la Mfenesini Kanal mstaafu Masoud Ali Khamis katika Mkutano uliofanyika Uwanja wa Bumbwisudi kwagoa.
5
Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCM Jimbo la Mfenesini Kanal mstaafu Masoud Ali Khamis akizungumza na Wananchi wa Shehiya ya Bumbwisudi na kuwaomba kura katika Mkutano uliofanyika Uwanja wa bumbwisudi kwagoa.
6
Aliyekuwa Mgombea Udiwani Wadi ya Bumbwisud kupitia ADC Makoe Makolea Mashimba akirudisha Kadi na kujiunga na CCM katika Mkutano wa kufunga Kampeni 2015 Uwanja wa Bumbwisud Jimbo la Mfenesini.
 (PICHA NA ABDALLA OMAR-MAELEZO ZANZIBAR).

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages