Breaking News

Your Ad Spot

Oct 23, 2015

DK. SHEIN AFUNGA MKUTANO WAKE WA KAMPENI KISIWANI PEMBA

Vijana Kisiwanin Pemba wakiingia katika viwanja vya Gombani kuhudhuria Mkutano wa Ufungaji wa Kampeni ya CCM ya Mgombea Urais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein.
Wanachama wa CCM wakiwa katika viwanja vya Gombani ya Kale Pemba wakihudhuria mkutano wa kampeni ya Mgombea Urais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein.
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Balozi Seif Ali Iddi akiwasili katika viwanja vya mkutano wa ufungaji wa kampeni katika viwanja vya Gombani ya Kale akisalimiana na Viongozi wa CCM Pemba.
Mgombea Mwenza wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokelewa na Naibu Katibu Mkuu wa UWT Zanzibar Mhe Salama Aboud Talib.akiwasili katika viwanja vya mkutano Gombani ya Kale. Pemba.
Mgombea Mwenza wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mgombea Ubunge wa Jimbo la Ziwani Pemba Ndg Mohammed Othman Omar alipowasili katika viwanja vya mkutano.(P.T)
Mgombea Mwenza Mhe Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Viongozi wa CCM kisiwani Pemba alipowasili katika viwanja vya mkutano wa Kampeni Gombani ya Kale Pemba. 
Mgombea Mwenza wa CCM Mhe Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Balosi Seif Ali Iddi, katika viwanja vya mkutano Gombani ya Kale. 
Mgombea Mwenza wa CCM Mhe Samia Suluhu Hassan akizungumzac na Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Balozi Seif Iddi. wakiwa katika viwanja vya mkutano Gombani ya Kale Pemba.
Wananchi wakiwa katika viwanja vya Gombani Pemba wakihughuria Mkutano wa Ufungaji wa Kampeni ya Mgombea Urais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein.
Hapa Kazi Tu. 
Ndivyo inavyoonesha Kijana huyu akisema akiwa na picha za Wagombea Urais kupiti CCM katika viwanja vya mkutano Gombani ya Kale Pemba.
Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mgombea Ubunge wa Jimbo la Ziwani Pemba kwa tiketi ya CCM Ndg Mohammed Othman Omar, alipowasili katika viwanja vya Gombani ya Kale Pemba kuhudhuria Mkutano wa Ufungaji wa Kampeni ya Mgombea Urais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein.
Mwenyekiti wa CCMTaifa Dk Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Viongozi wa CCM Kisiwani Pemba. 
Mwenyekiti wa CCM Taifa Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mgombea Mwenza wa Urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan jukwaa kuu.
Wanachama wa CCM wakishangilia wakati wa mkutano wa Kampeni wa CCM uliofanyika viwanja vya Gombani ya Kale Pemba.
Mgombea Urais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM Taifa wakati akiwasili katika jukwaa kuu la viongozi kwa ajili ya kuwahutubia wananchi wa Pemba katika mkutano wake wa kampeni ya Ufungaji iuliofanyika katika viwanja vya Gombani ya Kale.
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kuskazini Pemba Mhe Mberwa Hamad Mberwa akizungumza na Mwenyekiti wa CCM Taifa Dk. Jakaya Kikwete katika viwanja vya mkutano wa kampeni ya Mgombea Urais wa Zanzibar Dk Shein. 
Mwenyekiti wa CCM Taifa Dk Jakaya Mrisho Kikwete na Mwakamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Mgombea Urais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein, wakibadilisha mawazo kabla ya kuaza kwa mkutano wa ufungaji wa kampeni kisiwani Pemba katika viwanja vya Gombani ya Kale.
Msoma Quran akisoma quran kabla ya kuaza mkutano wa ufungaji wa kampeni ya mgombea Urais wa Zanzibar Dk Shein. viwanja vya Gombani ya Kale.
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kaskazini Pemba Ndg Mberwa Hamad Mbwera akitowa salamu za Wananchi kisiwani Pemba wakati wa mkutano wa kampeni ya Mgombea Urais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein.
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Balozi Seif Ali Iddi akiwahutubia Wananchi wa kisiwani Pemba katika mkutano wa Kampeni ya Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia CCM Dk Ali Mohamed Shein.uliofanyika katika viwanja vya Gombani ya Kale.
Umati wa Wananchi Kisiwani Pemba wakimsikiliza Mgombea Urais wa Zanzibar Kupitia CCM Dk Ali Mohamed Shein.katika viwanja vya Gombani ya Kale. 
Hapa Kazi Tu 
Wanachama wa CCM wakishangilia wakati wa Mkutano wa Kampeni ya Mgombea Urais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein, uliofanyika kisiwani Pemba katika viwanja vya Gombani ya Kale.
Mgombea Mwenza wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan akiwahutubia Wananchi kisiwani Pemba katika mkutano wake wa kampeni uliofanyika katika viwanja vya Gombani ya Kale Pemba na kufungwa na Mgombea Urais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein.
Wanachama wa CCM Kisiwani Pemba wakishangilia Wakati Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia CCM Dk Ali Mohamed Shein, akiwahutubia katika mkutano wake wa ufungaji wa kampeni uliofanyika viwanja vya Gombani ya Kale Pemba.
Viongozi wa jukwaa kuu la viongozi wakimsikiliza Mgombea Urais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein, akiwahutubia Wananchi wa Pemba katika mkutano wake wa ufungaji wa kampeni uliofanyika katika viwanja vya gombani ya kale Pemba.
Wanachama wa CCM wakiwa katika viwanja vya mkutano Gombani wakifuatilia mkutano wa ufungaji wa Kampeni uliofanyika viwanja vya Gombani ya Kale.Pemba.
Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamuhuri ya Muungani wa Tanzania Dk Jakaya Mrisho Kikwete akiwahutubia wananchi wa kisiwani Pemba wakati wa ufungaji wa mkutano wa kampeni uliofanyika katika viwanja vya Gombani ya Kale Pemba.
Wananchi kisiwani Pemba Wakimsikiliza Mgombea Urais wa Znzibar kupitia CCM Dk Ali Mohamed Shein, akiwahutubia wakati wa mkutano wake wa ufungaji wa Kampeni kisiwani Pemba uliofanyika katika viwanja vya Gombani ya Kale Pemba.
Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk Jakaya Mrisho Kikwete akiwahutubia Wananchi kisiwani Pemba katika mkutano wa Kampeni ya Mgombea Urais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein, uliofanyika katika viwanja vya Gombani ya Kale Pemba.
Mgombea Urais wa Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akiwahutubia Wananchi katika viwanja vya Gombani ya Kale Pemba na kuwaomba kura ya Ndio kumchagua yeye kuiongoza Zanzibar kwa kipindi cha Pili kutekeleza Ilani ya CCM ya Uchaguzi ya miaka mitano ijayo ya Uongozi wake.
WanaChama wa CCM Kisiwani Pemba wakimsikiliza Mgombea Urais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein, katika viwanja vya Gombani ya Kale Pemba.
Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia CCM na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akiwahutubia Wananchi kisiwanin Pemba katika mkutano wake wa kampeni ya ufungaji uliofanyika katika viwanja vya mpira vya Gombani ya Kale Chakechake Pemba.
Mwanachama wa CCM akifuatilia mkutano wa Mgombea Urais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein uliofanyika katika viwanja vya Gombani ya Kale Pemba.akiwa na picha za Wagombea Urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Pombe Magufuli na Mgombea Mwenza Mhe Samia Suluhu Hassan. 
Viongozi wa Jukwaa kuu wakiitikia dua baada ya ufungaji wa Mkutano wa Kampeni ya Mgombea Urais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein, katika viwanja vya gombani ya kale Pemba.
Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mama Fatma Karume wakati wa mkutano wa kufunga kampeni ya Mgombea Urais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein, iliofanyika katika viwanja vya gombani ya kale Chakechake Pemba.
 Mwenyekiti wa CCM Dk Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Wananchi katika viwanja vya mkutano wa kampeni viwanja vya Gombani ya Kale.
Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia CCM na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akiagana na Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk Jakaya Mrisho Kikwete, baada ya kumaliza kuwahutubia Wananchi wa Pemba katika mkutano wake wa Ufungaji wa Kampeni kisiwani Pemba uliofanyika katika uwanja wa Gombani ya Kale Chakechake Pemba. 

Imetayarishwa na OthmanMapara.blogspot.
Phone 0777424152 or 0715424152.
Zanzinews.com

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages