Breaking News

Your Ad Spot

Oct 26, 2015

MANCHESTER UNITED NA CITY ZATOKA 0-0 ENGLAND

Mshambuliaji wa Manchester United, Wayne Rooney akimruka beki wa Manchester City, Bacary Sagna katika mechi ya Ligi Kuu ya England jioni ya jana kwenye Uwanja wa Old Trafford. Timu hizo zimetoka 0-0 na kufanya ligi kuendelea kuwa na ushindani mkubwa

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages