Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk.
Ali Mohammed Shein, tayari ameshapiga kura yake kwenye Kituo cha Skuli
ya Bungi kusini mwa kisiwa cha Unguja, majira ya saa moja asubuhi Shein amewaambia waandishi wa habari kuwa amejipigia kura mwenyewe na ana matumaini makubwa yakushinda

Mpekuzi blog
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269