Rais Kikwete
akimkabidhi ufunguo wa Hospitali ya Utafiti wa magonjwa ya The Benjamin
Mkapa Ultra modern Hospital Waziri wa Afya Kebwe Steven Kebwe kama
ishara ya kuikabidhi Wizara ya Afya hospitali hiyo wakati wa hafla
ya ufunguzi jana.
Rais Kikwete
akifunua jiwe la Msingi katika jengo jipya la Hospitali ya utafiti wa
Magonjwa iliyojengwa katika chuo kikuu cha Dodoma na kupewa jina The
Benjamin Mkapa Ultra Modern Hospital.Hospitali hiyo itatumika kwa
mafunzo,tafiti na tiba ya magonjwa makubwa hususan figo na moyo.Kushoto
ni Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma,Rais Mstaafu awamu ya Tatu Mh.Benjamin
William Mkapa, na Katikati ni Waziri wa Afya Kebwe Steven Kebwe.
.Rais
Kikwete,na Rais wa Awamu ya Tatu Benjamin William Mkapa wakikata
utepe kufungua rasmi la Hospitali ya utafiti wa Magonjwa iliyojengwa
katika chuo kikuu cha Dodoma na kupewa jina The Benjamin Mkapa Ultra
Modern Hospital.Hospitali hiyo itatumika kwa mafunzo, tafiti na tiba ya
magonjwa makubwa hususan figo na moyo
Rais
Kikwete akiwajulia hali baadhi ya wagonjwa waliolazwa katika hospitali
mpya ya The Benjamin Mkapa UltraModern Hospital mjini Dodoma (picha
na Freddy Maro)








No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269