Breaking News

Your Ad Spot

Oct 13, 2015

RIPOTI : THOMAS SANKARA ALIUWAWA KINYAMA


Matokeo ya ukaguzi wa kimatibabu uliofanyiwa mabaki ya mwili wa aliyekuwa rais wa Burkina Faso marehemu Thomas Sankara miaka 28 baada ya kuuawa,yanaonyesha kuwa mwili wake ulijaa risasi kulingana na wakili aliyekuwa akiwakilisha familia yake kulingana na mtandao wa facebook wa kituo cha habari cha Burkina 24.
Familia yake ilikuwa ikingojea matokeo ya DNA kuthibitisha kwamba mabaki hayo yalikuwa ya bwana Sankara,wakili Benewende Sankara aliviambia vyombo vya habari nchini humo
Bwana Sankara aliuawa katika mazingira ya kutatanisha akiwa na umri wa miaka 37 na kundi la wanajeshi mwezi Octoba mwaka 1987,na alizikwa kwaa haraka kufuatia mpinduzi yalioongozwa na mrithi wake Blaise Compaore.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages