Breaking News

Your Ad Spot

Nov 30, 2015

MAPACHA WANNE WALITEKA JIJI LA DAR ES SALAAM

 Kiongozi wa Bend ya Twanga Pepeta Rwiza Mbutu akiwa jukwaani wakati wa shoo ya uzinduzi baada ya kujiunga tena katika Bendi ya  mapacha Wanne




 Chazi Baba kulia akiwa na Josee Mara wakiwa katika shoo iliyo wavutia wadau wakati wa uzinduzi wa nyimbo yao ya usiku wa kuachwa iliyozinduliwa hivi karibuni baada ya kusambaratika.
 Mpenzi wa Bend ya Mapacha wanne Fredicto Mupao 'mwana tarime' akimwagia mapesa mwimbaji wa Bend ya Mapacha wanne Kalala Jonia (kulia) katika ukumbi wa Mango Gaden wakati wa usiku wa nyimbo ya kuachwa iliyo zinduliwa hivi karibuni Jijini Dar es Salaam 
 Rwiza Mutu akiwa Jukwaani
 Mdau achanganyikiwa kwa kumwagia mapesa Mwimbaji wa Bend wa ya Mapacha wanne, KalalaJunia baada ya kuvutiwa na kipaji cha uimbaji wa mwimbaji huyo nakujikuta anamwagia mapesa
 Kuanzia kulia ni Chazz Baba, Haridi Chokora, Kalala Junia, Josee Mara
Kuanzi kulia ni Haridi Chokora, Kalala Jnia, Chazz Baba, Josee Mara

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages