Breaking News

Your Ad Spot

Nov 6, 2015

RONALDO ATAJA TANO BORA YAKE, INAONGOZWA NA HAZARD, NEYMAR


Mshambuliaji nyota wa Real Madrid, Cristiano ameitaja tano bora ya wachezaji bora duniani wanaochipukia.


Ronaldo amewataja Eden Hazard wa Chelsea, Neymar wa Barcelona na Paul Pogba wa Juventus kuwa sehemu ya tano bora yake ya wachezaji bora vijana duniani.


Raia huyo wa Ureno ambaye anashikilia tuzo ya mchezaji bora pia amewataja kinda Odegaard  anayecheza naye Madrid na kiungo mpya wa Man United, Memphis Depay kuwa ni kati ya vijana hatari wanaochipukia.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages