Dkt. Philip Mpango ateuliwa kuwa Waziri wa Fedha na Mipango
Dkt. Joyce Ndalichako, ateuliwa kuwa Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia, na Ufundi
Profesa Jumanne Maghembe, ateuliwa kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii
Mhandisi Gerson Lwenge, ateuliwa kuwa
Waziri wa Maji na Umwagiliaji na kuchukua nafasi ya Profesa Makame Mnyaa
Mbarawa ambaye sasa atakuwa Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi
Mhandisi Hamad Masauni, ateuliwa kuwa Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269