Mnikulu wa Ikulu Zanzibar Bw.Ameir Ali
Khatib akimkabidhi Mbuzi Sister Mary Gemma wa kituo cha Wazee Welezo,
hafla hiyo imefanyika katika makaazi ya Wazee hao Welezo Zanzibar,
Vyakula hivyo vimetolewa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania
Dkt. John Pombe Magufuli kwa ajili ya Wazee hao kujumuiika na Wananchi
katika kusherehekea Sikukuu ya Krismas na Mwaka Mpya.
Mlukulu wa Ikulu Zanzibar Ndg Ameir Ali
Khatib akimkabidhi Mafuta ya Kupikia Sister Mary Gemma wa kituo cha
Wazee Welezo, hafla hiyo imefanyika katika makaazi ya Wazee hao Welezo
Zanzibar, Vyakula hivyo vimetolewa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa
Tanzania Dk John Pombe Magufuli kwa ajili ya Wazee hao kujumuiika na
Wananchi katika kusherehekea Sikukuu ya Krismas na Mwaka Mpya.
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya
Uwezeshaji Ustawi wa Jamii Vijana Wanawake na Watoto Zanzibar Ndg. Msham
Abdalla akiozungumza wakati wa hafla hiyo ya kukabidha vyakula hivyo
vilivyotolewa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Pombe
Magufuli.
Wazee wakimsikiliza Naibu Katibu Mkuu
wakati wa hafla hiyo ya kukabidhiwa Vyakula kwa ajili ya kusherehekea
Sikukuu ya Krismas na Mwaka Mpya vilivyotolewa na Rais wa Jamuhuri ya
Muungano wa Tanzania Dk John Pombe Magufuli kwa Wazee hao. kuweza
kushiriki kwa vizuri katika sikukuu hizo.
Viongozi wa Kijiji cha Wazee wa
Wasiojiweza Welezo Zanzibar wakimsikiliza Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya
Uwezeshaji Ustawi wa JamiiVijana Wanawake na Watoto Ndg Msham Abdalla
wakati wa hafla hiyo ya kukabidhi msaada wa vyakula kwa Wazee wa Welezo
Zanzibar.
Msimamizi wa Kijiji hicho cha Wazee
Welezo Zanzibar Sister Mary Gemma akitowa shukrani kwa Rais wa Jamuhuri
ya Muungano wa Tanzania kwa msaada huo umefika wakati muafa na kutowa
shukrani zake kwa Nioba ya Uongozi wa Kituo hicho kinachohudumia Wazee
wasiojiweza Zanzibar.
Mzee wa Kijiji cha Wazee Wasiojiweza
Welezo Zanzibar Mzee Shein Kombo akitowa shukrani kwa niaba ya Wazee wa
Kijiji hicho kwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Pombe
Magufuli kwa msaada wake kwa Kuwakumbuka na kumtakia kazi njema katika
uongozi wake na kumalizia.
Hapa Kazi Tu.
Imetayarishwa na Othman Mapara.Blogspot
Zanzinews.com
Mungu awabariki ..taifa bado tunaitaji ushirikiani kuwabeba wazee wetu....
ReplyDelete