Breaking News

Your Ad Spot

Dec 25, 2015

PAPA FRANCIS AONGOZA MKESHA WA CHRISTMAS KATIKA KANISA LA MT. PETER VATICAN

Pope Francis Attends the Christmas Night Mass
Papa Francis akiongoza misa ya mkesha wa Christmas ambayo wakristu wote Dunia husherehekea kuzaliwa kwa Yesu Kristu, Misa iliyofanyika Desemba 24, 2015 katika kanisa la Mtakatifu Peter mjini Vatican nchini Italia.
Pope Francis Attends the Christmas Night Mass
Papa Francis akiongoza misa ya mkesha wa Christmas katika kanisa la mtakatifu Peter mjini Vatican nchini Italia.

Pope Francis Attends the Christmas Night Mass
Papa Francis akiwa na chetezo alipokua akiongoza misa ya mkesha wa Christmas Desemba 24, 2015 mjini Vatican nchini Italia.
Pope Francis Attends the Christmas Night Mass
Waumini wa Kikiristu wakifuatilia misa ya mkesha wa Christmas iliyofanyika Desemba 24, 2015 katika kanisa la Mt. Peter mjini Vatican nchini Italia.
Pope Francis Attends the Christmas Night Mass
Watoto waliohudhuria misa hiyo wakifuatilia mkesha wa Christmas misa iliyoongozwa na Papa Francis mjini Vatican nchini Italia Desemba 24, 2015. Picha kwa hisani ya Zimbio

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages