Waziri
Mkuu, Kassim Majliwa akimkabidhi vifaa mmojawa wanawake wakimbizi
kutoka Burundi, ambaye amejifungua kwenye hospitali wakimbizi katika
kambi ya Nyarugusu wilayani
Kaslu mkoani Kigoma akiwa katika ziara ya mkoa wa Dec 29, 2015
Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akizungumza na wanawake waliojifungua katika
wodi ya wazazi ya hospitali ya wakimbizi katika kambi ya Nyarugusu wilayani
Kaslu akiwa katika ziara ya mkoa wa Kigoma. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akizungumza na wanawake waliojifungua katika
wodi ya wazazi ya hospitali ya wakimbizi katika kambi ya Nyarugusu wilayani
Kaslu akiwa katika ziara ya mkoa wa Kigoma
Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akiwapungia wakimbizi kutoka Burundi
wakati alipotembelea kambi ya Nyarugusu akiwa katika ziara ya mkoa wa Kigoma
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na watumishi wa
mashirika mbalimbali ya kimatifa wanaowahudumia wakimbizi wa Burundi kwenye
kambi ya Nyarugusu wilyani Kasulu akiwa katika ziara ya mkoa wa Kigoma
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na watumishi wa
mashirika mbalimbali ya kimatifa wanaowahudumia wakimbizi wa Burundi kwenye
kambi ya Nyarugusu wilyani Kasulu akiwa katika ziara ya mkoa wa Kigoma
Watoto wa wakimbizi kutoka Burundi wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim
Majaliwa wakati alipohutubia mkutano wa hadhara kwenye kambi ya wakimbizi ya
Nduta wilayani Kibondo
Watoto wa wakimbizi kutoka Burundi wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim
Majaliwa wakati alipohutubia mkutano wa hadhara kwenye kambi ya wakimbizi ya
Nduta wilayani Kibondo
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiweka jiwe la Msingi la
Shule ya Msingi inayojengwa kwenye kambi ya wakimbizi ya Nduta wilayani Kibondo
ambayo imepewa jina lake, Alikuwa katika ziara ya mkoa wa Kigoma . Kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Kibondo, Ruth Msafiri
Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akiwa amekalia dawati katika moja ya
madarasa ya Shule ya Msingi inayojengwa kwenye kambi ya wakimbizi ya Nduta
ambayo imepewa jina lake . Alikuwa katika ziara ya mkoa wa Kigoma . Wapili kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Kibondo, Ruth Msafiri
Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akimkabidhi Mkuu wa Kambi ya Wakimbizi ya
Nduta, Bw. Frederick Nisajile shilingi milioni 2 zikiwa ni mchango wa kusaidia
programu ya upandaji miti kwenye maeneo yanayozunguka kambi hiyo. Alikuwa
katika ziara ya mkoa wa Kigoma . Katikati ni Mkuu wa Wilaya ya
Kibondo, Ruth Msafiri.
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269