Mbunge wa Jimbo la Kikwajuni na Naibu
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe.Hamad Yussuf Masauni na Aliyekuwa
Mwakilishi wa Rahaleo kwa sasa ni Mgombea Uwakilishi Jimbo la Kikwajuni
Mhe Nassor Salim Jazira wakiteta jambo wakati wa ziara ya Mbunge Mhe
Masauni kutembelea Mradi wa Maji kaburikikombe Zanzibar.
Mbunge wa Jimbo la Kikwajuni Mhe. Hamad
Masauni akiwa katika ziara yake kutembelea mradi wa kisima cha maji
kaburukikombe migimbani Zanzibar.
Katibu Mtendaji wa Jumuiya ya Tanzania
Youth Icon Abdalla Ahmeid akizungumza kuhusiara na mradi mkubwa wa
Kisima cha Maji kilichofadhiliwa na TAYI kwa Wananchi wa Jimbo la
Kikwajuni Zanzibar wakati wa ziara ya Mhe Mbunge Hamad Masauni katika
jimbo hilo.
Mbunge wa Jimbo la Kikwajuni na Naibu
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe Hamad Yussuf Masauni akizungumza na
Wananchi wa Jimbo hilo wakati wa ziara yake katika mradi wa maji kaburi
kikombe migombani Zanzibar Mradi huo unasimamiwa na Jumuiya ya TAYI
Tanzania Youth Icon kulia aliyekuwa mwakilishi wa Jimbo la Rahaleo na
kwa sasa anagombea Jimbo la Kikwajuni Zanzibar Mhe Nassor Salim Jazira.
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269