Ni usiku wa kuamkia January 1, 2016 ambapo mashabiki wa muziki wa
Bongo Fleva walikutana na kuenjoy muziki mzuri kutoka kwa msanii wa
Nigeria, Tekno uliofanyika katika ukumbi wa King Solomon Dar es Salaam.
Hizi ni baadhi ya picha za kutoka kwenye eneo hilo.
Hizi ni baadhi ya picha za kutoka kwenye eneo hilo.
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269