Breaking News

Your Ad Spot

Jan 17, 2016

NAPE AKUTANA NA BALOZI WA ISRAEL NCHINI NA KUKUBALIANA KUSHIRIKIANA KATIKA SEKTA ZA HABARI NA UTAMADUNI

pe1
Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Nape Nnauye(kulia) akifurahia jambo na Balozi wa Israel nchini Tanzania Bw.Yahel Vilan alipomtembelea ofisini kwake jijini Dar es Salaam.Katika maongezo yao wamekubaliana kuimarisha ushirikiano uliokuwepo na kuangalia sehemu zaidi za kushirikiana katika sekta za Habari na Utamaduni.
pe2
Balozi wa Israel nchini Tanzania Bw.Yahel Vilan(kushoto) akimpongeza Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe,Nape Nnauye(kulia) kwa kuchaguliwa kuwa Waziri  pamoja na kumpatia zawadi ya kitabu na kikombe kutoka Israel alipomtembelea leo jijini Dar es Salaam.

pe3
Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe,Nape Nnauye(kushoto) akimkaribisha ofisini kwake Balozi wa Israel nchini Tanzania Bw.Yahel Vilan(kulia) alipomtembelea ofisini kwake jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages