Breaking News

Your Ad Spot

Jan 19, 2016

RAIA WA UJERUMANI AITELEKEZA FAMILIA YAKE HOTELINI DAR ES SALAAM

Raia wa Ujerumani (kulia) ambayejinalake halikupatikana maramoja, ametiwa na mbaroni na Jeshi la  Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam kwa tuhuma za kutaka kuitoro familia yake katika  Hoteli ya Cate Dar es Salaam. Raia huyo alikuwa nchini na mkewe mwenye asili ya Afrika katika kipindi cha msimu wa sikukuu za mwisho wa mwaka. Alijaribu kumtoroka mkewe na mtoto (4) na kuwaacha wakidaiwa deni la sh. 315,000 baada ya kuzuka ugomvi baina yao. (PICHA ZOTE NA KHAMISI KUSSA)

 Mtoto wao (4) akisaidiwa kupandishwa katika Gari




 Raia wa Ujerumani huyo akitaka kuruka toka katika Gari
 Mke wa Raia wa Ujerumani wa pili kulia akiwa anaingia katika Gari kuelekea katika Kituo cha Polisi cha Msimbazi Dar es Salaam na wapili kulia ni kaka wa mwanamke wa Raia wa Ujerumani
Wananchi wakifatilia kwa karibu

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages