Breaking News

Your Ad Spot

Jan 31, 2016

RAIS DKT. MAGUFULI AMTEMBELEA RAIS MSTAAFU MKAPA NYUMBANI KWAKE MASAKI JIJINI DAR ES SALAAM


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, akipeana mikono na Rais mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa nyumbani kwake Masaki jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Dkt. Magufuli alikwenda kumsalimia. (Picha na Ikulu)

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages