Breaking News

Your Ad Spot

Jan 20, 2016

UZINDUZI WA JUMUIYAYA VETERANI WA UMOJA WA VIJANA ZANZIBAR YOUNG PIONEERS

 
Maveterani wa Umoja wa Vijana wa Young Pioneers wakipiga makofi wakati wa kuingia mgeni rasmin Mhe Waziri wa Fedha Omar Yussuf Mzee kwa ajili ya uzinduzi wa Jumuiya hiyo kuendeleza Vijana Zanzibar.
Maveterani wa Umoja wa Vijana wa Young Pioneers wakipiga makofi wakati wa kuingia mgeni rasmin Mhe Waziri wa Fedha Omar Yussuf Mzee kwa ajili ya uzinduzi wa Jumuiya hiyo kuendeleza Vijana Zanzibar.
Ustadh akisoma Quran kabla ya Uzinduzi huo wa Jumuiya ya Veterani wa Umoha wa Vijana wa Young Pioneers uliofanyika katika ukumbi wa ZSSF kiwanja cha Watoto Kariakoo Zanzibar.
Maveterani wa Young Poineers wa Umoja wa Vijna wakimsikiliza msoma quran wakati wa uzinduzi huo.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages