Waziri wa Viwanda na
Biashara Charles Mwijage, akisisitiza jambo kwa viongozi wakuu wa
kampuni ya bia Tanzania (TBL) wakati alipofanya ziara ya kikazi katika kiwanda
hicho Januari 8, 2016 Dar es Salaam, Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji
wa TBL, Roberto Jorrin, watatu kutoka kushoto ni Mkurugenzi
wa Maendeleo wizara ya Viwanda na Bishara, Obadia Nyagira, Meneja wa
Kiwanda cha Bia Tanzania( TBL) Calvin Martin (wapili kulia ) na
Kushoto ni Mkurugenzi wa Ufundi wa TBL Gavin Vanwjil.
Waziri wa viwanda
na Bishara Charles Mwijage (kulia ) akifafanua
jambo kwa Mkurugenzi wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) Roberto Jorrin
Waziri wa Viwanda na
Biashara Charles Mwijage akimsikiliza kwa makini Meneja
wa Kiwanda cha Bia Tanzania( TBL) Calvin Martin, wakati alipokuwa akimuelezea
shughuli zinazofanywa katika kiwanda hicho wakati alipofanya ziara ya kikazi
kiwandani hapo jijini Dar es Salaam
Waziri wa Viwanda
na Bishara Charles Mwijage (kulia ) akimsikiliza
kwa makini Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL)
Roberto Jorrin
Waziri wa viwanda
na Bishara Charles Mwijage (kulia ) akifafanua
jambo kwa Mkurugenzi wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) Roberto Jorrin
Waziri wa viwanda na Bishara
Charles Mwijage (kulia ) akimsikilza kwa
makini meneja uzalishaji wa Kampuni ya Bia Tanzania, (TBL),
Mecky Mlay (kushoto), alipokuwa akimfafanulia jambo kuhusiana na uzalishaji wa
bia wakati waziri huyo alipofanya ziara ya kikazi kwenye kiwanda
hicho jijini Dar es Salaam Januari 8, 2016
Waziri wa Viwanda na Bishara
Charles Mwijage (wapili kushoto) akiongea jambo alipokutana na
uongozi wa TBL, kwenye ziara yake
Waziri akiongea na waandishi wa habari baada ya ziara hiyo
Waziri Mwijagekatika picha ya pamoja na uongozi wa juu wa TBL
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269