Breaking News

Your Ad Spot

Jan 8, 2016

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AAGANA NA BALOZI WA NAMIBIA NCHINI

Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akimkabidhi Balozi wa Tanzania  nchini, Japhet Isaack zawadi ya  kinyago cha pundamilia  ili atakapoondoka  nchini abaki na kumbukumbu  ya  wanyamapori ambao nimuhimu kwa utalii hapa nchini. Balozi huyo alikwenda Ofisini kw Waziri Mkuu jijini Dares salaam  kuaga. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu,Kassim Majaliwa akizungumza  na balozi wa   nchini  kabla ya mazungumzo yao ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam
Waziri Mkuu,Kassim Majaliwa akisalimiana na balozi wa  Finland nchini Tanzania Mhe. Pekka   Hukka  kabla ya mazungumzo yao ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages