Baadhi
ya abiria waliokuwa wamepanda kivuko cha Mv Kigamboni wakiwa
wamekumbwa na butwaa kufuatia kivuko hicho walichokuwa wamepanda
kukatika sehemu ya kushukia abiria na Magari na kupelekea hofu kubwa
miongoni mwao, baadhi ya abiria hao wakijaribu
kujinusuru na hali hiyo, kwani kivuko hicho kilikuwa kimesheheni abiria
lukuki
Your Ad Spot
Feb 11, 2016
Share This
About khamisimussa77@gmail.com
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269