Breaking News

Your Ad Spot

Feb 3, 2016

UNAOMBWA KUSHIRIKI BARAKA ZA HARUSI YA MHARIRI WA KWA NEEMA FM RADIO YA JIJINI MWANZA

Familia ya Jeston Kihwelo ambae ni Mhariri Mkuu (Mwanahabari na Mtangazaji) wa 98.2 Kwa Neema Fm Radio iliyopo Kiloleli, Manispaa ya Ilemela Mkoani Mwanza inayofuraha kubwa kukushirikisha katika Sherehe ya Harusi ya kijana wao mpenda Jeston Kihwelo anaetarajia kufunga ndoa na Rebeca Joseph.
Piga 0768 24 88 64 AU 0689 093 041

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages