Breaking News

Your Ad Spot

Mar 10, 2016

RADIO MPYA YA WANANZENGO JIJINI MWANZA, KUANZA KURUKA HEWANI RASMI.

Imethibitika kuwa Radio Station ijulikanayo kwa jina la LAKE FM ya Jijini Mwanza inatarajia kuanza kuruka hewani rasmi kupitia 102.5 kuanzia wiki ijayo.

Redio mpya ya wananzengo Mkoa wa Mwanza itakua hewani rasmi kuanzia jumatatu wiki ijayo Machi 14, 2016. 
Tunaposema Raha ya rock city unaelewa nini? Follow @lakefm_mwanza kucomment ili tujue mapokeo yako. 
#LakeFM #RahaYaRockCity #RedioYaWananzengo.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages