Breaking News

Your Ad Spot

Mar 30, 2016

TANZANIA NA KUWAIT, WASAINI MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO KATIKA SEKTA YA USAFIRI WA ANGA

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa   (kulia)  na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga nchini Kuwait ,Mhandisi Yousef Al Fozan  (kushoto), wakipongezana Mara baada ya kutiliana saini makubaliano ya usafiri wa anga baina ya nchi hizo mbili jijini Dar es Salaam leo Machi 29, 2016.

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa   (kulia)  na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga nchini Kuwait ,Mhandisi Yousef Al Fozan  (kushoto) wakielekezwa na wanasheria wao jinsi ya  kusaini  hati za makubaliaono ya Usafiri wa Anga baina ya Kuwait na Tanzania , hafla hiyo ilifanyika katika ukumbi wa mikutano wa Wizara hiyo jijini Dar es Salaam, leo.
 
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa   (kulia)  na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga nchini Kuwait ,Mhandisi Yousef Al Fozan  (kushoto) wakibadilishana hati za makubaliaono ya Usafiri wa Anga baina ya Kuwait na Tanzania , hafla hiyo ilifanyika katika ukumbi wa mikutano wa Wizara hiyo jijini Dar es Salaam, leo.
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa   (kulia)  akikabidhiwa zawadi na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga nchini Kuwait ,Mhandisi  Yousef Al Fozan  (kushoto)   mara baada ya kumalizika kwa hafla ya kusaini makubaliaono ya Usafiri wa Anga baina ya Kuwait na Tanzania , hafla hiyo ilifanyika katika ukumbi wa mikutano wa Wizara hiyo jijini Dar es Salaam, leo.


Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa   (Kulia) akimsikilza kwa makini Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya  Usafiri wa Anga nchini Kuwait  Mhandisi  Yousef Al Fozan  (kushoto)    wakati wa hafla ya kusaini  makubaliaono ya Usafiri wa Anga baina ya Kuwait na Tanzania, jijini Dar es Salaam, leo
Baadhi ya maofisa wa  Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano wakimsikiliza kwa makini waziri wa wizara hiyo Profesa Makame Mbarawa   wapili (kutoka kushoto) wakati wa hafla ya kusaini  makubaliaono ya Usafiri wa Anga baina ya Kuwait na Tanzania, jijini Dar es Salaam, leo
Baadhi ya wadau wa masuala ya usafiri wa Anga wakiwa katika hafla ya utilianaji saini ya makubariano ya usafiri wa Anga baina ya Tanzania na Nchi ya Kuwait.
 
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa   (wapili kulia) akisisitiza jambo   kwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya  Usafiri wa Anga Kuwait Mhandisi  Yousef Al Fozan , (kushoto)   aliyeongozana na maofisa wake wakati walipowasili ofisini kwake jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya  kusaini makubaliano ya safari za Anga baina ya Tanzania na Kuwait.  Wapili kutoka kulia ni  Mkurugenzi wa Idara  ya Mashariki ya kati  wa Wizara hiyo,Balozi Abdallah Kilima na  Mkurugenzi  Mkuu wa Mamlaka ua Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) Hamza Johari.
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa  na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya  Usafiri wa Anga  Kuwait Mhandisi  Yousef Al Fozan , wakipongeza na mara baada ya kutiliana makubakliano ya Usafiri wa Anga baina ya Tanzania na Kuwait.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages