Rais wa Rwanda Paul Kagame akimshukuru
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli mara baada ya kutoa hotuba
yake ya ufunguzi wa daraja la Rusumo, hivi karibuni ambapo rais
alisafiri hadi nchini Rwanda kwa ziara ya ihistoria ya siku mbili na
kujenga mwanzo mpya katika uhusiano baina ya nchi hizi mbili ambao kwa
kiasi fulani ulizorota mwioshoni mwa utawala wa serikali ya awamu ya
nne. Akiwa nchini Fwanda, Rais alihudhuria kumbukumbu ya kila mwaka ya
wahanga wa mauaji ya halaiki nchini humo ya mwaka 1994 ambapo watu
wanaokadiriwa kufikia milioni moja (1,000,000), wengi wao watutsi na
wahutu wenye msimamo wa wastani waliuawa. Rais amerejea nyumbani
Jumatano Aprili 7, 2016 na kulakiwa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na
viongozi wa serikali ya mkoa wa Dar es Salaam, Mkuu wa majeshi Jenerali
Davis Mwamunyange, kuu wa jeshi la polisi IGP, Ernest Mangu
Your Ad Spot
Apr 8, 2016
Home
Unlabelled
ZIARA YA KIHISTORIA YA DKT. MAGUFULI NCHINI RWANDA, UHUWA TANZANIA NA RWANDA WAONYESHA MWANGA MPYA
ZIARA YA KIHISTORIA YA DKT. MAGUFULI NCHINI RWANDA, UHUWA TANZANIA NA RWANDA WAONYESHA MWANGA MPYA
Share This
About khamisimussa77@gmail.com
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269