Mwanamuziki
wa muziki wa kizazi kipya Nasibu Abdul ”Diamond Platinum’s” akisisitiza
jambo kwa waandishi wa habari kuhusiana na jinsi
atakavyoshiriki kutoa burudani na kuimba wimbo wa pamoja na mwanamuzi
NE-YO wa nchini Marekani katika tamasha la Jembeka na Vodacom festival
2016, litakalofanyika katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza,Kushoto
ni Mkurugenzi Mtendaji wa Jembe ni Jembe ambao ndiyo waandaji wa tamasha
hilo,Dkt.Sebastian Ndege,Matina Nkurlu Meneja Uhusiano wa Vodacom
Tanzania>ZAIDI BOFYA HAPA
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269