Breaking News

Your Ad Spot

May 30, 2016

WAZIRI MKUU MAJALIWA ATUA ARUSHA KUFUNGUA MKUTANO WA KIMATAIFA WA "AFRICA WORLD HERITAGE"


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Waziri wa Maliasili na Utalii, Profesa Jumanne Maghembe (kulia) na Mkuu wa mkoa wa Arusha, Felix  Ntibenda Kijiko (katikati)  baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Arusha May 30, 2016 ambako May 31, 2016 anatarajiwa kufungua mkutano wa  Kimataifa wa 'Africa  World Heritage' kwenye Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha -AICC. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages