
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Waziri wa Maliasili
na Utalii, Profesa Jumanne Maghembe (kulia) na Mkuu wa mkoa wa Arusha,
Felix Ntibenda Kijiko (katikati) baada ya kuwasili kwenye uwanja wa
ndege wa Arusha May
30, 2016 ambako May 31, 2016 anatarajiwa kufungua mkutano wa Kimataifa
wa
'Africa World Heritage' kwenye Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha
Arusha -AICC. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269