MAONYESHO ya Biashara ya Kimataifa ya
Dares Salaam, yanayoandaliwa na Mamlaka ya Uendelezaji Biashara
Tanzania, (TANTRADE), kwa mwaka huu wa 2016, yanatarajiwa kuanza rasmi,
Jumanne Juni 28, 2016 kwenye viwanja vya Julius Nyerere, barabara ya
Kilwa, wilayani Temeke jijini Dar es Salaam. K-VIS BLOG imeshuhudia
waonyeshaji bidhaa kwenye mabanda mbalimbali wakiendelea na hatua za
mwisho za kuandaa mabanda yao kama ambavyo pichahizi zinavyoonesha leo
Juni 27, 2017. Rais wa Rwanda Mh. Paul Kagame anatarajiwa kuyazindua
maonyesho hayo. (PICHA NA K-VIS MEDIA)
Your Ad Spot
Jun 27, 2016
Home
Unlabelled
RAIS KAGAME KUFUNGUA MAONYESHO YA BISHARA YA KIMATAIFA KESHO JIJINI DAR ES SALAAM
RAIS KAGAME KUFUNGUA MAONYESHO YA BISHARA YA KIMATAIFA KESHO JIJINI DAR ES SALAAM
Share This
About khamisimussa77@gmail.com
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269