Breaking News

Your Ad Spot

Jun 27, 2016

RAIS KAGAME KUFUNGUA MAONYESHO YA BISHARA YA KIMATAIFA KESHO JIJINI DAR ES SALAAM

 MAONYESHO ya Biashara ya Kimataifa ya Dares Salaam, yanayoandaliwa na Mamlaka ya Uendelezaji Biashara Tanzania, (TANTRADE), kwa mwaka huu wa 2016, yanatarajiwa kuanza rasmi, Jumanne Juni 28, 2016 kwenye viwanja vya Julius Nyerere, barabara ya Kilwa, wilayani Temeke jijini Dar es Salaam. K-VIS BLOG imeshuhudia waonyeshaji bidhaa kwenye mabanda mbalimbali wakiendelea na hatua za mwisho za kuandaa mabanda yao kama ambavyo pichahizi zinavyoonesha leo Juni 27, 2017. Rais wa Rwanda Mh. Paul Kagame anatarajiwa kuyazindua maonyesho hayo. (PICHA NA K-VIS MEDIA)



No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages