Breaking News

Your Ad Spot

Jul 2, 2016

KAMANDA WA UVCCM MKOA WA DAR ES SALAAM, ABBAS MTEMVU AGAWA CHAKULA KWA MAKUNDI MAALUM

 Kamanda wa Vijana Abbas Mtemvu akizungumza jambo wakati wa hafla fupi wakati wa kutoa msaada wa vyakula mbalimbali kwa makundi maalum, Dar es salaam leo, kulia ni Mwenyekiti wa CCM Jimbo la Temeke, Ahmadi Mnamala na kushoto ni Diwani wa Kata ya Miburani, Juma Mkenga  

 Mtemvu akisalimiana na walezi wa watoto wa makundi maalum wakati alipowasili katika hafla hiyo.
 

 Diwani wa Kata ya Miburani, Mkenga akizungumza jambo wakati wa hafla yiho
 Mwenyekiti wa CCM Jimbo la Temeke, Ahmadi Mnamala akizungumza jambo wakati wa hafla hiyo

 Pichani ni Mafuta na vyakula mbalimbali

 Mtemvu akimkabidhi mafuta ya kula, Jasmini John pamo na Vitu mbalimbali vya nafaka ikiwemo, mchele, sukari na ngano

 Kamanda wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Mkoa wa Dar es Salaam, Abbas Mtemvu akitoa msaada wa vyakula kwa ajili ya Sikukuu ya Idd kwa vituo vya watoto yatima Jijini leo



PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages