Mkazi wa Masingini Zanzibar,Mzee Mtumwa Haji Mustafa
(kulia) akipokea kapu lenye
vyakula mbalimbali kutoka kwa mwakilishi wa Doris Mollel Foundation, Warda
Walid (kushoto) na Meneja mauzo wa kanda hiyo wa Vodacom Tanzania, Mohamed
Mansour (katikati) ikiwa ni msaada kwa ajili ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani
uliotolewa na taasisi ya Vodacom Tanzania Foundation.
Meneja mauzo wa Vodacom Tanzania kanda ya Zanzibar,
Mohamed Mansour (kushoto) na mwakilishi wa Doris Mollel Foundation, Warda
Walid (kulia) wakimkabidhi kapu lenye vyakula mbalimbali Bi.Mwamvua Makame mkazi
wa mji huo, ikiwa ni msaada uliotolewa na taasisi ya Vodacom Tanzania kwa ajili
ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Mkazi wa shehia mahameni mjini Zanziba, Bi.Mwajuma
Juma(katikati) akipokea kapu lenye vyakula mbalimbali kutoka kwa Meneja mauzo
wa kanda hiyo wa Vodacom Tanzania, Mohamed Mansour(kulia)ikiwa ni msaada kwa
ajili ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani uliotolewa na taasisi ya Vodacom Tanzania
Foundation ,kushoto ni mwakilishi wa Doris Mollel Foundation, Warda Walid.
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269