Breaking News

Your Ad Spot

Aug 23, 2016

BONDIA IDDI MKWELA ALIVYO MSAMBARATISHA MWINYI MZANGELA KWA MAKONDE

Mabondia Mwinyi Mzengela (kushoto) na Iddi Mkwela wakioneshana umwamba wa kutupiana makonde wakati wa mpambano wao uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita jijini Dar es Salaam. Mkwela alishinda kwa point katika mpambano huo wa raundi sita.

Bondia Iddi Mkwela (kulia) akipiga ngumi ya 'Upcut'  wakati mpinzani wake akiwa kamkumbatia. Mwela alishinda kwa pointi katika mpambano huo wa raundi sita uliofanyika mwishoni mwa wiki, katika Uwanja wa Taifa wa ndani, Dar es Salaam. Picha zaidi/GONGA HAPA

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages