Breaking News

Your Ad Spot

Aug 14, 2016

MUSSA MGOSI , ACHEZA KWA DAKIA CHACHE NA KUKABIDHI UNAHODHA NA KUWA MENEJA WA TIMU YA SIMBA

 Kikosi cha Simba FC , (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)

 Kikosi cha URA

 Mgosi, mwenye  mpira akiwatoka wachezaji wa URA kwenye pambano la soka la kirafiki kwenye uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam



  Familia ya Mgosi wakimpigia makofi baada ya kucheza mpira kwa Dakikia chache na kukimbia uwanjani hapo  kwa kuwashukuru wadau  akiwa na mtoto wake Naifati Mussa Mgosi, kuanzia kulia ni mtoto wa kwanza wa Mgosi, Hassani Mgosi, mkewa wa Mgosi, Jasmin Mgosi na Amina Bakari
 Mgosi akiwa na mtoto,  Naifati  akiwa amempakata, kulia ni Naylaty na Naylaty Mgosi
 Ibrahim Ajibu (mbele) akiwatoka mabeki wa URA, kushoto ni Sekito Sam, anaye fatia nyuma ya Sekito ni Kagimu ShafiQ wa URA
 Wanahabari kazini
 Wanahabari kila Mmoja akitakacho



No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages