Breaking News

Your Ad Spot

Aug 3, 2016

RIDHIWANI:KUSEMWA SANA KUMENIFUNDISHA MENGI KATIKA MAISHA





Mbunge wa Chalinze,Ridhiwani Kikwete amesema kuwa  kusemwa sana kumemfanya ajue ni namna gani anatakiwa kuishi kwa watanzania wanapenda kusema na kutaka ufanye wasichojua.msikilize katika mahojiano katika kipindi cha Hello Tz Uhuru Fm.


Sikiliza mahojiano ya Ridhiwani katika kipindi cha Hello Tz

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages