Breaking News

Your Ad Spot

Sep 17, 2016

CHATU AUAWA KWENYE SHAMBA LA MUSEVENI

CHATU AUAWA KWENYE SHAMBA LA MUSEVENI

Chatu mwenye urefu wa futi ishirini ameuawa kwenye shamba la Rais wa Uganda Yoweri Museveni eneo la Kisozi lililo wilaya ya Gomba.
Polisi walimuua kwa kumpiga risasi chatu huyo mara tatu, alipojaribu kungia shamba hilo ambapo rais Museveni anafunga ng'ombe wengi.
Polisi mmoja anasema kuwa walishikwa na uoga walipomuona chatu huyo, ndipo wakaamua kumpiga risasi ili kuokoa ng'ombea wa rais.
Watu watatu walikamatwa wiki iliyopita kufuatia madai ya kumuibia Raisi museveni ng'ombe.
Rais Museveni hufuga ng'ome wenye pembe ndefu ambao kitamaduni hufugwa na watu wa kabila lake la Banyankore.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages