Breaking News

Your Ad Spot

Sep 13, 2016

DK. PINDI CHANA AFANYA MAZUNGUMZO NA VIONGOZI WA TAASISI YA GLOBAL PARTNERS GOVERNENCE YA UINGEREZA, LEO JIJINI DAR ES SALAAM

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Idara ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Dk. Pindi Chana, akisalimiana na Mkurugenzi wa Taasisi ya Global Partners Governence, Greg Power kabla ya kuanza mazungumzo, leo jijini Dar es Salaam. Mazungumzo hayo yalihusu namna CCM itakavyoweza kushirikiana na Taasisi hiyo ya masuala ya uongozi, katika nyanja mbalimbali. Wengine kulia ni Meneja Mradi mwandamizi wa Taasisi hiyo, Nedjma Ouerdane, na kushoto ni Assifu Lompo pia kutoka Tassisi hiyo.
Katibu wa NEC, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Dk. Pindi Chana, akiwa katika mazungumzo na Mkurugenzi wa Taasisi ya Global Partners Governence, Greg Power, leo jijini Dar es Salaam. Mazungumzo hayo yalihusu namna CCM itakavyoweza kushirikiana na Taasisi hiyo ya masuala ya uongozi, katika nyanja mbalimbali. Wengine kulia ni Meneja Mradi mwandamizi wa Taasisi hiyo, Nedjma Ouerdane, na wapili kushoto ni Assifu Lompo pia kutoka Tassisi hiyo.
Katibu wa NEC, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Dk. Pindi Chana, akiwa katika mazungumzo na Mkurugenzi wa Taasisi ya Global Partners Governence, Greg Power, leo jijini Dar es Salaam. Mazungumzo hayo yalihusu namna CCM itakavyoweza kushirikiana na Taasisi hiyo ya masuala ya uongozi, katika nyanja mbalimbali. Wengine kulia ni Meneja Mradi mwandamizi wa Taasisi hiyo, Nedjma Ouerdane, na wapili kushoto ni Assifu Lompo pia kutoka Tassisi hiyo.
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Idara ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Dk. Pindi Chana, akiwa katika picha ya pamoja  na Mkurugenzi wa Taasisi ya Global Partners Governence, Greg Power na ujumbe wake baada ya mazungumzo na ujumbe huo leo jijini Dar es Salaam.  Kulia ni Meneja Mradi mwandamizi wa Taasisi hiyo, Nedjma Ouerdane, na kushoto ni Assifu Lompo pia kutoka Tassisi hiyo. PICHA NA BASHIR NKOROMO

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages